Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani John Kerry ametishia kusitisha ushirikiano wa Marekani na Urusi nchini Syria/ Bunge la Marekani limeipinga kura ya turufu ya Rais Obama ya mswada utakawaruhusu waathiriwa wa mashambulizi ya Septemba 11 kuishitaki Saudi Arabia