Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amesema ulimwengu hauwezi kurudi nyuma wala kuyajadili kwa mara ya pili Makubaliano ya Paris kuhusiana na tabia nchi// Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in huenda wakawa na msimamo wa pamoja kuhusu Korea Kaskazini.