Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamesema kwamba watashirikiana kutia msukumo kuhusu mtizamo wao juu ya mabadiliko ya tabia nchi// Umoja wa Mataifa umekubali kupunguza bajeti ya kikosi cha kulinda amani cha umoja huo kwa karibu Dola milioni 600, baada ya wiki kadhaa za majadiliano.