1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.03.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S29 Machi 2017

Waziri mkuu wa Uengereza bibi Theresa May amefungua njia ya kuitishwa mazungumzo yatakayodumu miaka isiyopungua miwili na ambayo mwisho wake itakuwa kutoka nchi hiyo ya kifalme katika Umoja wa ulaya// Mfalme wa Jordan Abdullah wa pili ameuambia mkutano wa mataifa ya Kiarabu kwamba amani haiwezi kupatikana katika kanda hiyo bila kuanzishwa kwa taifa la Palestina karibu na Israel.

https://p.dw.com/p/2aGGM