Watu 60 wameuwawa Kasese, Uganda// Shirika la kutetea haki za binadamu Syria limesema waasi wa Syria wamelipoteza eneo lote la kaskazini mwa Aleppo// Francois Fillon ameshinda uchaguzi wa mchujo wa chama cha mrengo wa kulia cha Ufaransa Les Republicains// Rais mteule wa Marekani Donald Trump ametoa tuhuma za kukiukwa sheria za uchaguzi nchini humo.