Trump adai mamilioni walipiga kura kinyume na sheria// Mrengo wa kushoto Ufaransa waonekana kuzidi kugawika na kuchomoza vita vya dhahiri kati ya rais Francois Hollande na waziri wake mkuu Manuel Valls//Jeshi la polisi Uganda limeyadhibiti makaazi ya mfalme Mumbere wa eneo la Kasese na kukamata zana mbali mbali huku wakiwashikilia wafuasi wa mfalme huyo.