1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.10.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S28 Oktoba 2016

Zanzibar- Leo ni mwaka mmoja tangu uchaguzi wa tarehe Oktoba 25 mwaka 2015 ulipofutwa// Urusi imekanusha ripoti ya uchunguzi iliyotolewa na Umoja wa Mataifa ikionyesha kwamba Serikali ya Syria imefanya mashambulizi matatu yaliyohusisha silaha za kemikali// Kamati ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepiga kura kuunga mkono azimio lenye lengo la kupiga marufuku silaha za nyuklia.

https://p.dw.com/p/2RpP7