Wapiganaj i wa kundi linalojiita Dola la Kiislamu IS nchini Iraq wamewateka maelfu ya wanaume// Waasi nchini Syria, ikiwa ni pamoja na wapiganaji wa jihad leo hii wameanzisha mashambulizi// Huku akilenga kupata ufanisi mkubwa dhidi ya kampeni za urais za mpinzani wake Donald Trump, Hillary Clinton amemgeukia mkewe Rais Obama, Michelle, kumfanyia kampeni katika eneo la North Carolina.