Papa Francis amelaani hujuma za mabomu dhidi ya mji wa Aleppo nchini Syria akisema wahusika watalazimika kujieleza mbele ya Mungu/ Tanzania: Mvutano ndani ya Chama cha CUF unagukuta bado> Prof. Lipumba amezungumza na waandishi wa habari kwamba atabakia kuwa mwenyekiti wa mwanachama halali wa chama hicho/ Somalia: Mwandishi habari aliiuawa