1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.09.2016 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S09S28 Septemba 2016

Marekani: Utafiti mpya unasema kuwa iwapo Trumpatashinda uchaguzi watu karibu milioni mbili watapoteza bima ya afya/ Wapiganaji wanaofuata itikadi kali za Kiislamu wameviharibu vituo vya turaathi muhimu za kitamaduni baada ya kuvitaja kwenda kinyume na mafundisho ya Uislamu/ Rwanda: Serikali imeanza mkakati kabambe wa kutoa mafunzo ya ufundi stadi kwa wakimbizi kwa ajili ya kujikimu

https://p.dw.com/p/2QgGJ