1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.04.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S28 Aprili 2017

Kenya-NASA ina nini cha ziada ambacho upinzani haukuwa nacho katika uchaguzi wa 2013 ambao uliupoteza?// Nchini Tanzania, watetezi wa haki za binaadamu hivi leo wameadhimisha miaka minne ya taasisi yao ambayo inaunganisha asasi kadhaa za kiraia zinazopigania haki za binaadamu na utawala bora// Umoja wa Ulaya na Uturuki zinakutana hivi leo nchini Malta kusaka njia za kumaliza mvutano kati yao.

https://p.dw.com/p/2c4jJ