1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.04.2017 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S28 Aprili 2017

Papa Francis wiki hii atakuwa kiongozi wa pili wa Kanisa Katoliki kuizuru Misri baada ya marehemu Papa John Paul wa pili, wakati ambapo atakuwa anafanya ziara yenye lengo la amani katika nchi hiyo// Kura za mchujo nchini Kenya zimeshuhudia heka heka na vurugu katika sehemu nyingi nchini humo huku uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 8 ukikaribia.

https://p.dw.com/p/2c3Yz