Rais mpya wa Marekani Donald Trump atahutubia kwa mara ya kwanza leo usiku bunge la Congress// Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte hii leo ameiomba radhi Ujerumani kufuatia Ufilipino kushindwa kumuokoa mateka wa Ujerumani aliyekatwa kichwa na wanagambo wa kundi la itikadi kali// Ugiriki na wakopeshaji wake leo wameanza mazungumzo yao yaliokwama kwa muda mrefu kuhusu mageuzi