Nchini Tanzania hapo jana kulifanyika uchaguzi wa marudio katika kata 43// Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amewasili nchini Myanamr leo// Yemen imepokea shehena ya kwanza ya msaada wa chakula jana Jumapili// Waziri Mkuu wa Canada ameomba radhi kwa watu wa "taifa la kwanza" katika jimbo la Newfoundland na Labrador.