Kenya-Mwandamanaji mmoja ameuwawa kwa kupigwa risasi na polisi Katika kaunti ya Bungoma Magharibi mwa Kenya kwenye vurugu zinazoendelea wakati wakenya wakiendelea kusubiri matokeo ya urais kutoka kwa mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi Wafula Chebukati// Serikali ya Burundi imeidhinisha muswada wa sheria unaoruhusu kuandaliwa kwa rasimu ya katibu.