Mgogoro ndani ya chama cha CUF: Kikao cha baraza kuu la uongozi taifa wa chama hicho kimeamua kumfuta kabisa uanachama aliyekuwa Mwenyekiti, Prof. Lipumba/Dar es Salaam: Jeshi la polisi kanda maalum linawashikilia wanachama wa CUF kutoka Zanzibar kwa tuhuma za kutaka kufanya uhalifu katika makao makuu/Burundi:Jukumu la wapatanishi na viongozi wa dini katika kusuluhisha mizozo ya kikabila na kidini