Afrika Kusini: Kongamano la kimataifa juu ya biashara ya viungo vya wanyamapori na hifadhi ya viumbe vilivyo hatarini kutoweka linaendelea/ Ufilipino: Rais Duterte na vita dhidi ya madawa ya kulevya/ Umoja wa Mataifa umepitisha azimio kwenye mkutano wa viongozi wa ngazi za juu uliojadili njia za kuzifanya dawa za Antibiotiki ziwe na nguvu ya kutibu maradhi