Tunaanzia nchini Tanzania ambapo spika wa bunge Job Ndugai ameukubalia uamuzi wa kutimuliwa wabunge wanane wa chama cha CUF wenye viti maalum// Ni siku 11 zimesalia kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika nchini Kenya, na sasa kundi la watu walio na ulemavu wanaelezea hofu ya kuachwa nje katika mchakato huu.