Hali ya mambo ndani ya chama cha CUF nchini Tanzania imezidi kuwa mbaya// Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Burundi Michel Kafando amesema sharti la kuweka mazingira ya amani nchini humo ni kwa serikali kufanya majadiliano shirikishi yanayowahusisha wapinzani// Wapalestina wamemaliza mgomo wao na kuingia katika eneo takatifu la Jerusalem kwa mara ya kwanza baada ya wiki mbili za vurugu.