Aliyekuwa mgombea wa muungano wa vyama vya upinzani nchini Tanzania Ukawa na mjumbe wa halmashauri kuu ya chama kikuu cha upinzani Chadema yuko mikononi mwa polisi akihojiwa// Chama tawala cha Jubilee nchini Kenya kimezindua mpango wake wa miaka mitano ijayo iwapo kitashinda kwenye uchaguzi mkuu ujao.