Urusi imelishutumu onyo lililotolewa na Marekani kwa uongozi wa Syria kwamba utalipa gharama kubwa kwa shambulio lolote lile la silaha za sumu itakalofanya// Aliekuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Edward Lowasa ambaye leo aliitwa na Mkurugenzi wa makosa ya jinai ili kuhojiwa, ameyapongeza magazeti yalioandika juu ya hotuba yake.