27 Mei 2017
Matangazo
Miongoni mwa yaliyomo kwenye habari:
Misri yafanya mashambulizi ya angani ya kulipiza kisasi katika kambi za wanamgambo nchini Libya
Mkutano wa G-7 kukamilika leo kwa mazungumzo na viongozi wa Afrika kuhusu suala la uhamiaji
Makundi ya kutoa misaada yawasili Sri Lanka huku idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko ikifika 100