Kansela wa Ujerumani anatarajiwa kuanza ziara rasmi ya siku moja nchini Marekani leo kukutana na rais Donald Trump// Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, anatazamiwa hivi leo kuizuru kwa mara ya kwanza Korea Kusini, ambako atakuwa na mkutano na mwenyeji wake, Moon Jae-in.