Kuna mengi yaliyojitokeza katika kura za mchujo zinazoendelea nchini Kenya wakati nchi hiyo ikikaribia kufanya uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu// Zaidi ya nusu ya raia wa Ufaransa waliopiga kura katika duru ya kwanza ya uchaguzi hawakumchagua Emmanuel Macron au Marine Le Pen// Marekani na Korea Kusini zimezidisha kasi ya kuweka nchini Korea Kusini mifumo ya kukinga makombora.