1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.03.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S27 Machi 2018

Serikali ya Kenya imemuweka kizuizini na wanataka kumrejesha nchini Canada kwa mara nyingine mwanasiasa wa upinzani Miguna Miguna pamoja na amri ya mahakama kumruhusu kuingia nchini humo/ Mji Mkuu wa China Beijing, ulikuwa chini ya usalama mkali leo, huku kukiwa na uvumi kwamba kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un alikuwa anafanya ziara ya kustukiza, kufuatia ripoti za kuwasili kutoka Pyongyang

https://p.dw.com/p/2v3vQ