Mwito wa kusitishwa mapigano kwa masaa matano uliotolewa na Urusi hapo jana, katika eneo linalodhibitwa na waasi nchini Syria la Ghouta Mashariki, karibu na Damascus, ili kuruhusu raia kuondoka kwenye eneo hilo, umeanza kutekelezwa// DRC- Mahakama ya kijeshi imemuhukumu kifungo cha maisha jela afisa wa polisi aliefyatua risasi na kumuuwa mmoja wa wandamanaji wanaompinga rais Joseph Kabila.