Hali nchini Syria/ Marekani kabla ya duru ya kwanza ya mdahalo kwa njia ya televisheni kati ya wagombea kiti cha rais, Clinton na Trump/ Fukuto la vurugu za kisiasa linaendelea ndani ya chama cha upinzani nchini Tanzania> Mahojiano/ Kenya na Jordan zimekubaliana kuwa na ushirikiano wa kijesho kukabiliana na vitisho vipya vya kiusalama vinavyoibuka