Waziri Mkuu wa India Narendra Modi yuko Marekani ambapo atafanya mkutano wake wa kwanza na Rais Donald Trump // Polisi ya Uturuki yatumia mabomu ya kutoa machozi na risasi za mpira kuyavunja maandamano ya mashoga mjini Istanbul // Na Ujerumani yatinga nusu fainali ya dimba la Kombe la Mabara linaloendelea nchini Urusi