1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.06.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S26 Juni 2017

Uingereza; May amefikia makubaliano na chama cha siasa kali za kizalendo/ Trump na Modi wanakutana mjini Washington leo/ Serikali ya Kongo imeukosoa msimamo wa maaskofu wa kanisa katoliki,unaolazimisha kuitishwa kwa uchaguzi ifikapo Desemba mwaka huu/ Tanzania imetishia kuwakamata na kuwaondosha nchini wale wanaofanya kampeni ya kuwatetea mashoga> Mahojiano na Waziri wa mambo ya Ndani

https://p.dw.com/p/2fQiE