1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.05.2017 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S26 Mei 2017

Qatar imeingia katika mzozo na baadhi ya mataifa washirika katika kanda ya Ghuba, kuhusiana na kile ilichosema yalikuwa matamshi ya uzushi// Wahamiaji wanaosalimika na safari ngumu katika eneo la jangwa la Sahara, sasa wanakabiliwa na mateso mapya// Nchini Kenya hali ya ukame uliolikumba taifa hilo, inatajwa kuongeza wigo ya kujiajiri kwa watu wengi.

https://p.dw.com/p/2daYn