1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.04.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S26 Aprili 2017

Korea Kusini imesema leo katika taarifa yake kwamba sehemu muhimu za mfumo wa ulinzi wa kukinga makombora wa Marekani tayari zimeshawekwa nchini humo, ikiwa ni siku moja baada ya hasimu wake Korea Kaskazini kuonyesha nguvu zake za kijeshi// Marekani imelihimiza baraza lililogawanyika la usalama la Umoja wa Mataifa kuunga mkono marufuku ya uuzaji silaha na vikwazo dhidi ya Sudan Kusini.

https://p.dw.com/p/2bxdD