1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.04.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S26 Aprili 2017

Watanzania leo wameadhimisha miaka 53 ya muungano wa iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar huku wasomi pamoja na wanahistoria wakikutana katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam kujadili hatma ya muungano huo// Kura za mchujo kuwateua wagombea viti mbali mbali vya kisiasa kwenye uchaguzi mkuu ujao nchini Kenya zinaendelea huku zikiwa zimesalia siku 103 uchaguzi mkuu kufanyika.

https://p.dw.com/p/2byJW