Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Syria jana alisema rais wa Marekani Barack Obama anaweza kuendelea kufanya kazi hadi katika siku yake ya mwisho madarakani kumaliza vita vya Syria//Vikosi vya wazima moto vinaendelea kupambana na moto mkali uliozuka katika mji wa Haifa mji mkuu wa tatu nchini Israel.