Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametishia kuwa huenda akafungua mpaka wa nchi yake ili kuwaruhusu wahamiaji kufika katika mataifa ya Umoja wa Ulaya//Kongamano la vijana kutoka mataifa mbali mbali duniani yakiwemo Colombia, Sudan, Nepal na Tanzania lilioandaliwa na chama cha umoja wa mataifa cha Ujerumani mjini Bonn Ujerumani limekamilika hii leo.