1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.10.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S25 Oktoba 2017

Uchaguzi wa urais nchini Kenya utaendelea kama ulivyopangwa kufanyika hapo kesho// Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Dr. Kiza Besigye pamoja na wenzake wameachiwa kwa dhamana// Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewasili Bangassou, jamhuri ya Afrika ya Kati.

https://p.dw.com/p/2mVAi