Watu 12 wameuawa kufuatia mashambulizi katika nyumba moja ya wageni mjini Mandera, Kenya// Nchini Tanzania leo umetimia mwaka mmoja tangu wananchi waliposhuka vituoni kupiga kura// Shirika la kimataifa la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch limesema maafisa wa Uturuki wanakiuka haki za binaadamu.