1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.10.2016 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S25 Oktoba 2016

Leo ni mwaka mmoja tangu wananchi wa Tanzania walipopiga kura katika Uchaguzi Mkuu // Polisi wa Ujerumani wamevivamia vituo 12 wanakoishi wakimbizi, katika kila pembe ya nchi, kuwasaka watu wanaotuhumiwa kugharimia ugaidi// Mashirika ya kutoa misaada yamesema idadi ya wahamiaji na wakimbizi waliokufa maji katika bahari ya Meditarania inakaribia kufikia idadi jumla ya waliopoteza maisha mwaka jana.

https://p.dw.com/p/2Rgxb