Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Ujerumani Sigmar Gabriel amesema Uturuki haitawahi kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya chini ya Recep Tayyip Erdogan// Polisi nchini Italia wamepambana na wakimbizi waliokuwa wamepiga kambi katikati mwa mji mkuu Rome // Na Tume ya uchaguzi Angola imesema chama tawala kimeshinda uchaguzi na Joao Lourenco atakuwa rais mpya wa nchi hiyo