1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.08.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S25 Agosti 2017

Mshauri wa Ikulu ya Marekani, Jared Kushner, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Israel na Palestina, katika juhudi zinazofanywa na nchi hiyo kuyafufua mazungumzo ya amani ya Mashariki ya Kati, ambayo yamekwama// Qatar imeamuru kufungwa kwa ubalozi wa Chad nchini mwake na kuwapatia masaa 72 wanadiplomasia wake kuondoka, na kuituhumu nchi hiyo kwa kujiunga "na kampeni ya usaliti".

https://p.dw.com/p/2iqkL