Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli, wiki hii alimteua Brigedia Jenerali John Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU)// Suala la mishahara ya wabunge limerejea tena midomoni mwao baada ya kutishia kususia vikao na kukwamisha shughuli iwapo hawatalipwa kiwango cha muhula uliopita.