Hata wakati mvutano kati ya Marekani na Urusi ukiendelea kupamba moto, kuna sehemu moja ya kushangaza ambayo mawasiliano yao ya kijeshi yanastahimili kwa usiri hali hiyo// Ujerumani inajiandaa kwa uchaguzi mkuu tarehe 24 mwezi ujao wa Septemba, huku kansela wa sasa Angela Merkel anapania kushinda muhula wa nne madarakani.