1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.01.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S25 Januari 2017

Chama cha kisoshalisti cha Ujerumani SPD kimemtangaza spika wa zamani wa bunge la Ulaya Martin Schulz, kuwa mgombea wao wa nafasi ya Kansela// Kuongezeka kwa viongozi wa siasa kali za kizalendo za mrengo wa kulia kote duniani kunatishia kudhoofisha vita dhidi ya rushwa// Rais Donald Trump leo anatarajiwa kusaini amri kuu za kiutendaji zinazohusiana na kupiga marufuku wahamiaji kuingia nchini humo.

https://p.dw.com/p/2WMjt