1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.11.2016 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S24 Novemba 2016

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko anawashinikiza wakuu wa Umoja wa Ulaya kutilia mkazo vikwazo dhidi ya Urusi, wakati ambapo Umoja wa Ulaya ukitaka uhakikisho kutoka kwa Ukraine kuwa unafanya linalohitajika kupiga vita ufisadi//Andrew Glimour yuko ziarani nchini Kongo ambako amelezea wasiwasi wake kuhusu kubanwa kwa uhuru wa kisiasa nchini humo.

https://p.dw.com/p/2TC3Y