Mpango mkubwa wa rais mteule wa Marekani Donald Trump kugharimia miundo mbinu inaweza kukuwa chanzo cha kuvurugika uchumi wa dunia// Katika harakati za kuukomboa mji wa Mosul huko nchini Irak vikosi vinavyoongozwa na majeshi ya Marekani vimeshambulia kwa mabomu ya angani na kuliharibu kabisa daraja la nne katika kivuko cha mto Tigris.