Ufaransa: Polisi wa kupambana na ugaidi wanamtafuta imamu mmoja mfuasia wa nadharia za kisalafi za dini ya Kiislamu anayeshukiwa kutoa ushawishi kwa vijana wanaoingia katika mapambano ya jihadi/ Putin amesema kitendo cha Uturuki kuidungua ndege yake ya kivita mpakani mwa Syria, ni sawa na kuchomwa kisu mgongoni/ John Kerry: Mazungumzo pamoja na viongozi wa Israel na Palastina