Viongozi wa Ufaransa wameanza zoezi la kuwahamisha maelfu ya wahamiaji kinyume na sheria waliokuwa wamekusanyika katika eneo la karibu na mji wa kaskazini wa Calais// Vikosi vya Iraq vimefanikiwa leo kuchukua udhibiti wa vijiji viwili vilivyo karibu na mji wa Mosul // Tanzania na Morocco kwa mara ya kwanza leo zimetiliana saini makubaliano ya ushirikiano katika maeneo 22.