1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.05.2017 Matangazo ya Asubuhi

V2 / S12S24 Mei 2017

Rais wa Marekani anataraajiwa kukutana na kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni Papa Francis hii leo huko Vatikani// Migogoro ya Iraq, syria na Uturuki imezungukwa na utatanishi wa makundi ya kisiasa na kijeshi miongoni wa Wakurdi// Makundi ya kigaidi yanazidi kuwa kitisho katika sehemu ya kati ya Mali na yanaendelea husababisha kushuka kwa shughuli za kilimo na mamia ya mashule kufungwa.

https://p.dw.com/p/2dUiy