Shambulio la kuyatoa mhanga maisha, hujuma za mabomu ya vikosi vya serikali; dazeni kadhaa ya waasi wameuwawa nchini Syria// Afrika Kusini- Polisi wametumia magruneti ya kurushwa kwa mkono pamoja na risasi za mpira kuwatawanya waandamanaji katika jiji la Pretoria// Zaidi ya watu milioni 20 wameathirika na ukame unaoendelea katika eneo la Pembe ya Afrika.