Uingereza-Mahakama ya juu imetoa hukumu yake katika kesi iliyowasilishwa kuhusu ni mhimili gani una mamlaka ya kuanzisha mchakato wa nchi hiyo kujitoa katika Umoja wa Ulaya//Addis Abab- Umoja wa Afrika umeanza mikutano katika makao yake makuu// Wasimamizi wa mazungumzo ya amani ya Astana, Urusi, Uturuki na Iran wamekubaliana kubuni mkakati wa kuendeleza mpango wa kuweka chini silaha nchini Syria.