1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.12.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S23 Desemba 2016

Mshukiwa mkuu katika shambulizi la lori lililouwa watu 12 katika soko la Krismasi mjini Berlin, Anis Amri, ameuwa mjini Milan, Italia// Chama tawala na upinzani wamefikia makubaliano ya kisiasa ambayo yanaweza kutiwa saini mchana baada leo chnini ya upatanishi wa kanisa katoliki nchini Kongo// IBEC-Maaskofu wa kanisa Katoliki wamemtaka rais Uhuru Kenyatta asitie saini sheria mpya.

https://p.dw.com/p/2UmiS